The site will post the latest news from Kenya without bias. Please visit regularly to receive breaking news.
Thank you for visiting.
FOR DAILY INSPIRATIONS, PLEASE SCROLL TO THE BOTTOM OF THE PAGE.
Pages
▼
Tuesday, August 3, 2010
Mombasa Itayari
Mjini Mombasa tume shikilizi ya uchaguzi IIEC hii leo ilikuwa ikiendeleza mafunzo ya dakika za mwisho kwa makarani watakaohusika katika zoezi la kura ya maamuzi.Vilevile kufanya matayarisho ya vifaa kama masanduku ya kupigia kura na stakabadhi husika. Maoni ya wakaazi wa mkoa wa pwani yanaashiria kuwa wengi wako tayari kupiga kura hiyo kesho kutwa .
No comments:
Post a Comment