The site will post the latest news from Kenya without bias. Please visit regularly to receive breaking news.
Thank you for visiting.
FOR DAILY INSPIRATIONS, PLEASE SCROLL TO THE BOTTOM OF THE PAGE.
Pages
▼
Tuesday, July 20, 2010
Swala La Ardhi
Swala la ardhi limegubika taifa hili kwa miaka 47 licha ya wakenya miaka 47 iliyopita kupigania uhuru kwa dhana ya kurudishiwa ardhi yao na wakoloni. lakini kadri miaka ilivyosonga wengi wao wamefanywa kuwa maskwota,baadhi kupokonywa ardhi na mabwenyenye na walala hai walionyakua vipande vikubwa vya ardhi kuitumia kwa manufaa ya kibinafsi na kuwacha wakenya kufa maskini. Na licha ya uchunguzi kufanywa kupitia tume ya ardhi ya Ndug'u, Sera kuundwa tetesi ni zilezile,jee zitatauliwa sasa?
No comments:
Post a Comment