The site will post the latest news from Kenya without bias. Please visit regularly to receive breaking news.
Thank you for visiting.
FOR DAILY INSPIRATIONS, PLEASE SCROLL TO THE BOTTOM OF THE PAGE.
Pages
▼
Friday, July 16, 2010
Kampeni Za Ndiyo
Rais Mwai Kibaki amewataka wanaopinga katiba iliyopendekezwa kutofanya hivyo bila sababu zozote muhimu. akizungumza katika mikutano ya hadhara mkoa wa kati rais pia aliwataka wanaopinga rasimu kuelewa kuwa asilimia kubwa zaidi ya vipengee vilivyopendekezwa vinamfaa mwananchi.
No comments:
Post a Comment