The site will post the latest news from Kenya without bias. Please visit regularly to receive breaking news.
Thank you for visiting.
FOR DAILY INSPIRATIONS, PLEASE SCROLL TO THE BOTTOM OF THE PAGE.
Pages
▼
Sunday, July 18, 2010
Hekaheka 16/07/10
Ama kweli, ukweli ukidhihiri bila shaka uwongo hujitenga. Lakini kwa wanasiasa msemo huu humaanisha ukweli ukijitenga, uwongo utadhihiri. Aidha propaganda zinaendelea kuganda si haba kwenye kampeni za katiba. Huku ally mtenzi akitupasha zaidi kwenye hekaheka za wiki hii, mbichi na mbivu zilianza kubainika katika maeneo ya meru na kakamega
No comments:
Post a Comment